Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mlimani na ukae huku. Nitakupa mabamba ya mawe yenye sheria na amri nitakazoandika ili kuwafundisha watu.”+

  • Kutoka 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Musa akageuka na kushuka kutoka mlimani akiwa amebeba yale mabamba mawili ya Ushahidi+ mikononi mwake.+ Mabamba hayo yalikuwa yameandikwa pande zote mbili; upande wa mbele na wa nyuma.

  • Kumbukumbu la Torati 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akawatangazia agano lake,+ alilowaamuru mshike—zile Amri Kumi.*+ Kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Basi nikageuka na kushuka mlimani huku mlima ukiwaka moto,+ nami nilikuwa nimebeba yale mabamba mawili ya agano kwa mikono yangu miwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki