12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mlimani na ukae huku. Nitakupa mabamba ya mawe yenye sheria na amri nitakazoandika ili kuwafundisha watu.”+
15 Kisha Musa akageuka na kushuka kutoka mlimani akiwa amebeba yale mabamba mawili ya Ushahidi+ mikononi mwake.+ Mabamba hayo yalikuwa yameandikwa pande zote mbili; upande wa mbele na wa nyuma.