36 Wana wa Merari walikuwa na majukumu ya kusimamia viunzi+ vya hema la ibada, fito zake,+ nguzo zake,+ vikalio vyake, vyombo vyake vyote,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo,+ 37 na pia nguzo zote zilizozunguka ua na vikalio vyake,+ vigingi vya hema, na kamba za hema hilo.