Hesabu 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ni Walawi tu watakaotumikia katika hema la mkutano, na ndio watakaowajibika kwa ajili ya makosa yao.+ Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kwamba hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.+
23 Ni Walawi tu watakaotumikia katika hema la mkutano, na ndio watakaowajibika kwa ajili ya makosa yao.+ Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kwamba hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.+