Kutoka 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Alitengeneza pia mafuta matakatifu ya kutia mafuta+ na uvumba safi uliotiwa manukato+ na kuchanganywa kwa ustadi.* Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+ Ufunuo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwanakondoo, na kila mmoja alikuwa na kinubi na mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba. (Uvumba huo unamaanisha sala za watakatifu.)+
29 Alitengeneza pia mafuta matakatifu ya kutia mafuta+ na uvumba safi uliotiwa manukato+ na kuchanganywa kwa ustadi.*
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+
8 Alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwanakondoo, na kila mmoja alikuwa na kinubi na mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba. (Uvumba huo unamaanisha sala za watakatifu.)+