18 Sasa mara tu alipomaliza kuzungumza naye kwenye Mlima Sinai, alimpa Musa mabamba mawili ya Ushahidi,+ mabamba ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu.+
10 Kisha Yehova akanipa yale mabamba mawili ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu, nayo yalikuwa na maneno yote ambayo Yehova aliwaambia mlimani kutoka katika moto siku ya kusanyiko.*+