Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+

      Nifundishe vijia vyako.+

  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Niongoze katika kijia cha unyoofu kwa sababu ya maadui wangu.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+

  • Zaburi 119:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,

      Nami nitaifuata mpaka mwisho.+

  • Isaya 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na masikio yako mwenyewe yatasikia neno nyuma yako likisema, “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” ikiwa mtaenda upande wa kulia au mtaenda upande wa kushoto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki