-
Kutoka 22:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 “Mtu akimpa jirani yake punda au ng’ombe dume au kondoo au mnyama yeyote wa kufugwa amtunzie, kisha mnyama huyo afe au alemazwe au achukuliwe bila mtu yeyote kuona, 11 yule aliyepewa mali hiyo ataapa mbele za Yehova kwamba hakuchukua mali ya jirani yake; na mwenye mali anapaswa kukubali jambo hilo. Mtu huyo hatalipa chochote.+
-