Kumbukumbu la Torati 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwanamume akimwoa mwanamke lakini hapendezwi naye kwa sababu ameona jambo fulani lisilofaa kwake, ni lazima amwandikie mwanamke huyo cheti cha talaka,+ ampe, na kumruhusu aondoke nyumbani mwake.+ Ezekieli 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hawapaswi kumwoa mjane au mwanamke aliyetalikiwa;+ lakini wanaweza kumwoa bikira wa uzao wa Israeli au mjane wa kuhani.’+
24 “Mwanamume akimwoa mwanamke lakini hapendezwi naye kwa sababu ameona jambo fulani lisilofaa kwake, ni lazima amwandikie mwanamke huyo cheti cha talaka,+ ampe, na kumruhusu aondoke nyumbani mwake.+
22 Hawapaswi kumwoa mjane au mwanamke aliyetalikiwa;+ lakini wanaweza kumwoa bikira wa uzao wa Israeli au mjane wa kuhani.’+