14 Pia, wewe na wanao na binti zako+ mtakula kidari cha toleo la kutikiswa na mguu wa fungu takatifu+ mkiwa mahali safi kwa sababu vitu hivyo vimetolewa ili kuwa posho yako na posho ya wanao kutoka kwenye dhabihu za ushirika za Waisraeli.
19 Michango yote mitakatifu ambayo Waisraeli watamchangia Yehova,+ nimekupa wewe na wanao na mabinti wako, ili iwe posho yenu ya kudumu.+ Ni agano la chumvi linalodumu* mbele za Yehova kwa ajili yako na wazao wako.”