28 Kutoka kwa wanajeshi walioenda vitani, mtachukua nafsi moja kutoka kwa kila nafsi 500 za wanadamu, za ng’ombe, za punda, na kondoo ili iwe kodi ya Yehova. 29 Mnapaswa kuchukua nafsi hizo kutoka katika fungu lao na kumpa kuhani Eleazari kama mchango kwa Yehova.+