Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wakawaambia: “Yehova alimwamuru bwana wetu awagawie Waisraeli nchi kwa kura+ ili wairithi; na bwana wetu aliamriwa na Yehova achukue urithi wa Selofehadi ndugu yetu na kuwapa binti zake.+

  • Yoshua 17:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na watoto wa kiume ila mabinti, na majina ya mabinti hao yalikuwa: Mala, Noa, Hogla, Milka, na Tirsa. 4 Basi wakaja kwa kuhani Eleazari,+ Yoshua mwana wa Nuni, na wakuu na kuwaambia: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe urithi miongoni mwa ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki