Kutoka 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hivi ndivyo utakavyofanya kuhusu ng’ombe dume wako na kondoo wako:+ Atakaa na mama yake kwa siku saba. Siku ya nane, utanipa mimi.+ Kumbukumbu la Torati 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Unapaswa kumtakasa kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa ng’ombe wako na kondoo wako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Usimtumie mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe dume wako kufanya kazi yoyote wala usimkate manyoya mzaliwa wa kwanza wa kondoo wako.
30 Hivi ndivyo utakavyofanya kuhusu ng’ombe dume wako na kondoo wako:+ Atakaa na mama yake kwa siku saba. Siku ya nane, utanipa mimi.+
19 “Unapaswa kumtakasa kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa ng’ombe wako na kondoo wako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Usimtumie mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe dume wako kufanya kazi yoyote wala usimkate manyoya mzaliwa wa kwanza wa kondoo wako.