Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Siku ya saba anapaswa kunyoa nywele zote kichwani, ndevu zote, na kope zake. Baada ya kunyoa nywele zote, atafua mavazi yake na kuoga kwa maji, kisha atakuwa safi.

  • Hesabu 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu huyo anapaswa kujitakasa kwa maji hayo siku ya tatu, na siku ya saba atakuwa safi. Lakini asipojitakasa siku ya tatu, hatakuwa safi siku ya saba.

  • Hesabu 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nanyi mnapaswa kupiga kambi nje ya kambi kwa siku saba. Kila mtu miongoni mwenu ambaye amemuua mtu na kila mtu ambaye amemgusa mtu aliyeuawa+ anapaswa kujitakasa+ siku ya tatu na siku ya saba, ninyi na mateka wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki