14 Sasa, mwanamume huyo Mwisraeli aliyeuawa pamoja na mwanamke Mmidiani aliitwa Zimri mwana wa Salu, mkuu wa ukoo* wa Wasimeoni. 15 Mwanamke Mmidiani aliyeuawa aliitwa Kozbi binti ya Suri;+ Suri alikuwa kiongozi wa koo* za nyumba fulani huko Midiani.+