Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, akasema: “Wakati huu nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akampa jina Yuda.*+ Kisha akaacha kuzaa. Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
35 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, akasema: “Wakati huu nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akampa jina Yuda.*+ Kisha akaacha kuzaa.
12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+