Kumbukumbu la Torati 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Ikiwa mtamsahau Yehova Mungu wenu na kufuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, nashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamia.+ Yoshua 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini kama zilivyotimia ahadi zote nzuri alizowaahidi Yehova Mungu wenu,+ vivyo hivyo Yehova atawaletea misiba yote aliyoahidi* na kuwaangamiza kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa.+ 1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya uovu bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu mtafagiliwa mbali.”+
19 “Ikiwa mtamsahau Yehova Mungu wenu na kufuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, nashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamia.+
15 Lakini kama zilivyotimia ahadi zote nzuri alizowaahidi Yehova Mungu wenu,+ vivyo hivyo Yehova atawaletea misiba yote aliyoahidi* na kuwaangamiza kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa.+