Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu. Luka 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yesu akajibu: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”+
8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.
41 Yesu akajibu: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”+