2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+ Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee wamelala chini barabarani wakiwa wamekufa.+ Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wameuawa kwa upanga.+ Umeua katika siku ya hasira yako; umechinja bila huruma.+
17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+
21 Mvulana na mwanamume mzee wamelala chini barabarani wakiwa wamekufa.+ Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wameuawa kwa upanga.+ Umeua katika siku ya hasira yako; umechinja bila huruma.+