12 Baadaye Yehova akamwambia hivi Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha kwamba mna imani kwangu na kunitakasa mbele ya Waisraeli, hamtawaingiza watu hawa katika nchi ambayo nitawapa.”+
31Ndipo Musa akatoka na kuwaambia Waisraeli wote maneno haya: 2 “Leo nina umri wa miaka 120.+ Siwezi tena kuwaongoza,* kwa sababu Yehova ameniambia, ‘Hutavuka mto huu wa Yordani.’+