Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+

      Shika amri zangu, uendelee kuishi.+

  • Methali 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Shika amri zangu uishi;+

      Linda mafundisho* yangu kama mboni ya jicho lako.

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+

  • Isaya 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+

      Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+

      Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

  • 1 Yohana 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki