Methali 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+ Methali 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Shika amri zangu uishi;+Linda mafundisho* yangu kama mboni ya jicho lako. Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+ Isaya 48:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+
3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+