Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+

  • Kutoka 40:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kila mara wingu lilipoinuka kutoka juu ya hema la ibada, Waisraeli walivunja kambi katika hatua zote za safari yao.+

  • Hesabu 10:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi wakasafiri kwa siku tatu kutoka kwenye mlima wa Yehova,+ na sanduku+ la agano la Yehova lilisafirishwa mbele yao kwa siku hizo tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.+ 34 Nalo wingu la Yehova+ lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka mahali walipokuwa wamepiga kambi.

  • Zaburi 78:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aliwaongoza kwa wingu wakati wa mchana

      Na usiku kucha kwa mwangaza wa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki