Hesabu 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+ Hesabu 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘“Mimi, Yehova, nimesema. Hivi ndivyo nitakavyoutendea umati huu wa watu waovu, ambao umekusanyika pamoja dhidi yangu: Wataishia humu nyikani, naam, watafia humu.+ 1 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+ 1 Wakorintho 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana waliangamizwa nyikani.+ Waebrania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, si wale waliotenda dhambi, ambao maiti zao zilianguka nyikani?+
29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+
35 “‘“Mimi, Yehova, nimesema. Hivi ndivyo nitakavyoutendea umati huu wa watu waovu, ambao umekusanyika pamoja dhidi yangu: Wataishia humu nyikani, naam, watafia humu.+
10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+
17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, si wale waliotenda dhambi, ambao maiti zao zilianguka nyikani?+