Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.

  • Hesabu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Unapaswa kumweka rasmi Haruni na wanawe ili watekeleze majukumu yao ya ukuhani,+ na mtu yeyote asiye na idhini* atakayekaribia mahali patakatifu anapaswa kuuawa.”+

  • Kumbukumbu la Torati 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo Yehova aliliteua kabila la Lawi+ ili libebe sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia, na kubariki katika jina lake,+ kama linavyofanya mpaka leo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki