Hesabu 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+ Kumbukumbu la Torati 4:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia na hakuwa akimchukia,+ ni lazima akimbilie katika mojawapo ya majiji hayo ili aishi.+
15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+
42 Mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia na hakuwa akimchukia,+ ni lazima akimbilie katika mojawapo ya majiji hayo ili aishi.+