-
1 Wafalme 9:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya magofu.+ Kila mtu atakayepita karibu nayo ataitazama kwa mshangao, atapiga mluzi na kuuliza, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+ 9 Kisha watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova Mungu wao, aliyewatoa mababu zao kutoka nchini Misri, nao wakashikamana na miungu mingine, wakaiinamia na kuiabudu. Ndiyo sababu Yehova aliwaletea msiba huo wote.’”+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 7:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Na nyumba hii itakuwa marundo ya magofu. Kila mtu atakayepita karibu nayo ataitazama kwa mshangao+ na kuuliza, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+ 22 Kisha watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao, aliyewatoa nchini Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine, wakaiinamia na kuiabudu.+ Ndiyo sababu aliwaletea msiba huo wote.’”+
-