Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:20-22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Musa akawaambia: “Ikiwa mtafanya hivi: Ikiwa mtachukua silaha mbele za Yehova kwa ajili ya vita;+ 21 na ikiwa kila mmoja wenu atachukua silaha na kuvuka Yordani mbele za Yehova anapowafukuza maadui wake kutoka mbele zake+ 22 mpaka mtakaposhinda na kuichukua nchi mbele za Yehova,+ mnaweza kurudi+ nanyi hamtakuwa na hatia mbele za Yehova na Waisraeli. Ndipo Yehova atakapokubali mmiliki nchi hii.+

  • Yoshua 22:1-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha Yoshua akawaita watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase 2 na kuwaambia: “Mmefanya mambo yote ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru mfanye,+ nanyi mmetii sauti yangu kwa kufanya mambo yote niliyowaamuru.+ 3 Hamjawaacha ndugu zenu kwa muda wote huo, mpaka leo hii;+ nanyi mmetimiza wajibu wa kushika amri ya Yehova Mungu wenu.+ 4 Na Yehova Mungu wenu amewapumzisha ndugu zenu kama alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini kwenye mahema yenu katika nchi ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ya* Yordani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki