Yoshua 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+ Yoshua 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya kuitiisha nchi,+ Waisraeli wote wakakusanyika Shilo+ na kupiga hema la mkutano+ huko. Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa mkono wako uliyafukuza mataifa+Ukawafanya mababu zetu waishi huko.+ Uliyapondaponda mataifa na kuyafukuza.+
23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+
2 Kwa mkono wako uliyafukuza mataifa+Ukawafanya mababu zetu waishi huko.+ Uliyapondaponda mataifa na kuyafukuza.+