Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+Lakini wokovu ni wa Yehova.+
7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+