Mwanzo 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nawe Yuda,+ ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa shingoni mwa maadui wako.+ Wana wa baba yako watainama chini mbele yako.+ Kumbukumbu la Torati 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akamtangazia Yuda baraka hii:+ “Ee Yehova, isikie sauti ya Yuda,+Nawe umrudishe kwa watu wake. Mikono yake imetetea* kilicho chake,Nawe umsaidie dhidi ya maadui wake.”+ 1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.
8 “Nawe Yuda,+ ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa shingoni mwa maadui wako.+ Wana wa baba yako watainama chini mbele yako.+
7 Naye akamtangazia Yuda baraka hii:+ “Ee Yehova, isikie sauti ya Yuda,+Nawe umrudishe kwa watu wake. Mikono yake imetetea* kilicho chake,Nawe umsaidie dhidi ya maadui wake.”+
2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.