24 Lakini bado upinde wake ulibaki mahali pake,+ na mikono yake ikaendelea kuwa na nguvu na myepesi.+ Alitiwa nguvu na mikono ya mwenye nguvu wa Yakobo, mchungaji, jiwe la Israeli.
16Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+