Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakamwacha Yehova na kuabudu Baali na sanamu za Ashtorethi.+

  • Waamuzi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+

  • 1 Samweli 12:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini walimsahau Yehova Mungu wao, naye akawauza+ mikononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mikononi mwa Wafilisti+ na mikononi mwa mfalme wa Moabu,+ na maadui hao wakapigana nao. 10 Nao wakamlilia Yehova awasaidie+ na kusema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumekuacha wewe, Yehova, ili kuabudu Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ sasa tuokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu ili tukutumikie.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki