Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Musa akaja na kuwaambia watu maneno yote ya Yehova na sheria zote,*+ na watu wote wakajibu hivi kwa sauti moja: “Maneno yote ambayo Yehova amesema, tuko tayari kuyafanya.”+

  • Kutoka 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+

  • Kutoka 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kulingana na maneno haya, ninafanya agano pamoja nawe na pamoja na Israeli.”+

  • Kumbukumbu la Torati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Haya ndiyo maneno ya agano ambalo Yehova alimwamuru Musa afanye pamoja na Waisraeli katika nchi ya Moabu, mbali na agano alilofanya nao kule Horebu.+

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mkivunja agano la Yehova Mungu wenu alilowaamuru mshike na mkienda kuabudu miungu mingine na kuiinamia, hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu+ nanyi mtaangamia haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo amewapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki