Mwanzo 38:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini mara tu alipourudisha mkono wake, ndugu yake akatoka, mkunga akasema kwa mshangao: “Lo! Umejipasulia njia!” Basi akapewa jina Perezi.*+ Hesabu 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na wana wa Yuda kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ ukoo wa Washela; kutoka kwa Perezi,+ ukoo wa Waperezi; kutoka kwa Zera,+ ukoo wa Wazera. Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari; Perezi akawa baba ya Hezroni;+ Hezroni akawa baba ya Ramu;+
29 Lakini mara tu alipourudisha mkono wake, ndugu yake akatoka, mkunga akasema kwa mshangao: “Lo! Umejipasulia njia!” Basi akapewa jina Perezi.*+
20 Na wana wa Yuda kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ ukoo wa Washela; kutoka kwa Perezi,+ ukoo wa Waperezi; kutoka kwa Zera,+ ukoo wa Wazera.
3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari; Perezi akawa baba ya Hezroni;+ Hezroni akawa baba ya Ramu;+