-
1 Samweli 6:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Chukueni Sanduku la Yehova na kuliweka juu ya gari hilo, nanyi wekeni ndani ya sanduku lingine kando yake vitu vya dhahabu mnavyompelekea kuwa dhabihu ya hatia.+ Kisha mliache gari liende 9 huku mkilitazama: Ikiwa litapanda kwenye barabara inayoelekea Beth-shemeshi,+ kwenye eneo lake, basi yeye ndiye ametutendea uovu huu mkubwa. Lakini lisipopanda huko, tutajua kwamba si mkono wake uliotuadhibu; ni msiba wa kawaida tu uliotupata.”
-