Waamuzi 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Baada ya kifo cha Yoshua,+ Waisraeli* walimuuliza Yehova,+ “Ni nani kati yetu atakayeenda kwanza kupigana na Wakanaani?” 1 Samweli 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nilifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawafikia?” Ndipo Akamwambia: “Wafuatie, kwa maana hakika utawafikia, nawe utawaokoa waliotekwa.”+ 2 Samweli 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, nami hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+
1 Baada ya kifo cha Yoshua,+ Waisraeli* walimuuliza Yehova,+ “Ni nani kati yetu atakayeenda kwanza kupigana na Wakanaani?”
8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nilifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawafikia?” Ndipo Akamwambia: “Wafuatie, kwa maana hakika utawafikia, nawe utawaokoa waliotekwa.”+
19 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nipande kwenda kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, nami hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+