Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu. Hukutii amri ambayo Yehova Mungu wako alikupa.+ Kama ungetii, Yehova angeimarisha ufalme wako juu ya Waisraeli milele. 14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atamtafuta mtu anayeupendeza moyo wake,+ na Yehova atamweka kuwa kiongozi juu ya watu wake,+ kwa sababu hukutii mambo uliyoamriwa na Yehova.”+

  • 1 Samweli 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akamwambia: “Usiogope, kwa maana Sauli baba yangu hatakupata; utakuwa mfalme wa Israeli,+ nami nitakuwa wa pili baada yako; na Sauli baba yangu anajua jambo hilo.”+

  • 2 Samweli 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Daudi akamwambia Mikali: “Nilikuwa nikisherehekea mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote na ambaye aliniweka mimi kuwa kiongozi wa watu wa Yehova, Waisraeli.+ Kwa hiyo, nitasherehekea mbele za Yehova,

  • 2 Samweli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+

  • Zaburi 89:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+

      Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki