1 Samweli 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nilifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawafikia?” Ndipo Akamwambia: “Wafuatie, kwa maana hakika utawafikia, nawe utawaokoa waliotekwa.”+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+
8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nilifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawafikia?” Ndipo Akamwambia: “Wafuatie, kwa maana hakika utawafikia, nawe utawaokoa waliotekwa.”+