Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo. Yeremia 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama jeshi la mbinguni lisivyoweza kuhesabiwa wala mchanga wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouzidisha uzao wa* mtumishi wangu Daudi na Walawi wanaonihudumia.’”
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
22 Kama jeshi la mbinguni lisivyoweza kuhesabiwa wala mchanga wa bahari usivyoweza kupimwa, ndivyo nitakavyouzidisha uzao wa* mtumishi wangu Daudi na Walawi wanaonihudumia.’”