Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Yeye huniokoa kutoka kwa maadui wangu.

      Unaniinua juu+ ya wale wanaonishambulia;

      Unaniokoa kutoka kwa mtu mkatili.+

  • Zaburi 55:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ataniokoa* na kunipa amani mbali na wale wanaopigana nami,

      Kwa maana umati huja kunishambulia.+

  • Zaburi 94:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 94 Ee Mungu wa kisasi, Yehova,+

      Ee Mungu wa kisasi, angaza!

  • Zaburi 124:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+

      Watu walipokuja kutushambulia,+

       3 Basi wangetumeza tukiwa hai+

      Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki