-
Zaburi 18:31-42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+
Na ni nani aliye mwamba isipokuwa Mungu wetu?+
34 Huizoeza mikono yangu kupigana vita;
Mikono yangu inaweza kuukunja upinde wa shaba.
35 Wewe hunipa ngao yako ya wokovu,+
Mkono wako wa kuume hunitegemeza,*
Na unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu.+
37 Nitawafuatia maadui wangu na kuwapita;
Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.
41 Wanalilia msaada, lakini hakuna mtu wa kuwaokoa;
Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.
42 Nitawaponda wawe laini kama mavumbi katika upepo;
Nitawatupa nje kama matope barabarani.
-