Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+

      Hata maadui wetu wameelewa hilo.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

  • 2 Samweli 22:32-43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova?+

      Na ni nani aliye mwamba isipokuwa Mungu wetu?+

      33 Mungu wa kweli ni ngome yangu imara,+

      Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu.+

      34 Huifanya miguu yangu iwe kama ya paa;

      Hunifanya nisimame mahali palipo juu.+

      35 Huizoeza mikono yangu kupigana vita;

      Mikono yangu inaweza kuukunja upinde wa shaba.

      36 Wewe hunipa ngao yako ya wokovu,

      Na unyenyekevu wako hunifanya niwe mkuu.+

      37 Unapanua njia kwa ajili ya hatua zangu;

      Miguu yangu haitateleza.*+

      38 Nitawafuatia maadui wangu na kuwaangamiza;

      Sitarudi mpaka watakapoangamizwa kabisa.

      39 Nami nitawaangamiza kabisa na kuwaponda, hivi kwamba hawatainuka;+

      Wataanguka chini ya miguu yangu.

      40 Utanipa nguvu kwa ajili ya vita;+

      Utawafanya maadui wangu waanguke chini yangu.+

      41 Utawafanya maadui wangu wanikimbie;*+

      Nitawakomesha* wale wanaonichukia.+

      42 Wanalilia msaada, lakini

      hakuna mtu wa kuwaokoa;

      Hata wanamlilia Yehova, lakini yeye hawajibu.+

      43 Nitawaponda wawe laini kama mavumbi ya dunia;

      Nitawapondaponda na kuwakanyaga-kanyaga kama matope barabarani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki