1 Samweli 17:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Daudi akautia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, na kulirusha kwa kombeo. Akampiga Mfilisti huyo kwenye paji la uso, na jiwe hilo likapenya katika paji la uso wake, akaanguka chini kifudifudi.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawakuimiliki nchi kwa upanga wao wenyewe,+Na mkono wao wenyewe haukuwaletea ushindi.+ Badala yake, waliimiliki kwa mkono wako wa kuume na uwezo wako+ na nuru ya uso wako,Kwa maana ulipendezwa nao.+ Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nguvu zako tutawafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaoinuka dhidi yetu.+
49 Daudi akautia mkono wake ndani ya mfuko wake, akachukua jiwe kutoka humo, na kulirusha kwa kombeo. Akampiga Mfilisti huyo kwenye paji la uso, na jiwe hilo likapenya katika paji la uso wake, akaanguka chini kifudifudi.+
3 Hawakuimiliki nchi kwa upanga wao wenyewe,+Na mkono wao wenyewe haukuwaletea ushindi.+ Badala yake, waliimiliki kwa mkono wako wa kuume na uwezo wako+ na nuru ya uso wako,Kwa maana ulipendezwa nao.+
5 Kwa nguvu zako tutawafukuza maadui wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaoinuka dhidi yetu.+