Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.

      Yehova hatawanyima jambo lolote jema

      Wale wanaotembea kwa utimilifu.+

  • Mathayo 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+

  • Waefeso 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi kwa yule anayeweza, kulingana na nguvu zake zinazotenda ndani yetu,+ kufanya kwa wingi zaidi kupita mambo yote tunayoomba au tunayofikiri,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki