32Kisha Yakobo akaendelea na safari yake, na malaika wa Mungu wakakutana naye. 2 Mara tu alipowaona, Yakobo akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.*
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu+9 na kumfanya kuwa mfalme wa Gileadi,+ wa Waashuri, Yezreeli,+ Efraimu,+ Benjamini, na juu ya Waisraeli wote.