Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejidhihirisha mwenyewe kuwa mkuu katika utakatifu?+

      Wewe unayestahili kuogopwa kwa nyimbo za sifa, Wewe unayetenda mambo yanayostaajabisha.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

  • 2 Samweli 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Hakuna aliye kama wewe,+ na hakuna Mungu ila wewe;+ mambo yote tuliyosikia kwa masikio yetu yanathibitisha jambo hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki