25 Katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu.+ 26 Akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.+ Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+