30 Lakini Mfalme Sihoni wa Heshboni hakuturuhusu tupite, kwa sababu Yehova Mungu wenu alimwacha awe na roho ya ukaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mikononi mwenu kama ilivyo leo.+
7 Lakini Mungu alisababisha Ahazia aangamie alipokuja kwa Yehoramu; na alipokuja, alienda pamoja na Yehoramu kukutana na Yehu+ mjukuu* wa Nimshi, ambaye Yehova alikuwa amemtia mafuta ili awaangamize kabisa watu wa nyumba ya Ahabu.+