Kumbukumbu la Torati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nitakapowaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zao+—nchi inayotiririka maziwa na asali+—nao wale na kushiba na kufanikiwa,*+ wataigeukia miungu mingine na kuiabudu na kunidharau na kulivunja agano langu.+ Zaburi 78:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Moyo wao haukuwa imara kumwelekea;+Nao hawakuwa waaminifu kwa agano lake.+ Isaya 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ole kwa taifa lenye dhambi,+Watu waliolemewa na dhambi,Uzao wa watu waovu, watoto waliopotoka! Wamemwacha Yehova;+Wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli;Wamemgeuzia migongo yao. Yeremia 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao watajibu: “Kwa sababu waliliacha agano la Yehova Mungu wao na kuiinamia miungu mingine na kuitumikia.”’+
20 Nitakapowaleta katika nchi ambayo niliwaapia mababu zao+—nchi inayotiririka maziwa na asali+—nao wale na kushiba na kufanikiwa,*+ wataigeukia miungu mingine na kuiabudu na kunidharau na kulivunja agano langu.+
4 Ole kwa taifa lenye dhambi,+Watu waliolemewa na dhambi,Uzao wa watu waovu, watoto waliopotoka! Wamemwacha Yehova;+Wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli;Wamemgeuzia migongo yao.
9 Nao watajibu: “Kwa sababu waliliacha agano la Yehova Mungu wao na kuiinamia miungu mingine na kuitumikia.”’+