1 Wafalme 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati akilima kwa jozi 12 za ng’ombe dume, naye alikuwa na jozi ya 12. Basi Eliya akamkaribia, akalitupa vazi lake rasmi+ juu yake. 2 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakamwambia: “Alikuwa mwanamume aliyevaa vazi la manyoya+ na mshipi wa ngozi kiunoni.”+ Mara moja akasema: “Ni Eliya Mtishbi.” Zekaria 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Siku hiyo kila nabii ataonea aibu maono yake anapotabiri; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ ili kudanganya. Mathayo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni.+ Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.+
19 Basi akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati akilima kwa jozi 12 za ng’ombe dume, naye alikuwa na jozi ya 12. Basi Eliya akamkaribia, akalitupa vazi lake rasmi+ juu yake.
8 Wakamwambia: “Alikuwa mwanamume aliyevaa vazi la manyoya+ na mshipi wa ngozi kiunoni.”+ Mara moja akasema: “Ni Eliya Mtishbi.”
4 “Siku hiyo kila nabii ataonea aibu maono yake anapotabiri; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ ili kudanganya.
4 Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni.+ Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.+