Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ambayo Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

  • Isaya 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walipanda ili kuja kupigana vita dhidi ya Yerusalemu, lakini alishindwa* kuliteka.+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova lililomjia Hosea* mwana wa Beeri katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Mika 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova lililomjia Mika*+ wa Moreshethi, katika siku za utawala wa Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na ambalo alilipokea katika maono kuhusu Samaria na Yerusalemu:

  • Mathayo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uzia akawa baba ya Yothamu;+

      Yothamu akawa baba ya Ahazi;+

      Ahazi akawa baba ya Hezekia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki